Thursday, September 30, 2010

MIKE TEE KUITEKA MBEYA


Msanii anaeendelea kuiteka Tanzania kunako bongo fleva, MIKE TEE a.k.a mnyalu, amesema kwa sasa amehamia mbeya kwa shughuli zake, lakini kuhusu muziki bado anaendeleza makamuzi. Ndani ya mwaka huu mnyalu ametoa nyimbo mpya mbili, moja inaitwa I LOVE YOU na nyingine inaitwa TUJIIBE TUKIWEZA.

Jamaa yupo mbioni kufanya video na ataifanyia hapa hapa mbeya. Kubwa zaidi MIKE TEE yupo katika harakati za kuhamishia studio yake hapa mkoani mbeya. Studio inaitwa MY KEY RECORDS, PRODUCER NI YEYE MWENYEWE MIKE TEE.



No comments:

Post a Comment