Monday, December 21, 2009

MAMBO YA FM ACADEMIA WAZEE WA NGWASUMA NDANI YA ROYAL ZAMBEZI MBEYA

Muimbaji mahiri wa bendi ya FM Academia,Josee Mara akifanya vitu vyake stejiniJosee Mara akiongoza safu ya ushambuliaji ya wana Ngwasuma katika ukumbi wa Royal Zambezi uliopo katikati ya jiji la Mbeya mwishoni mwa wiki iliyopita.
wanenguaji wa FM Academia wana wa Ngwasuma wakichakarika ipasavyo
Wapenzi wa muziki wa Dansi wakilisakata ngwasuma kwa raha zaooo
Wadau kibao walikuwepo katika shoo ya nguvu iliyoangushwa na wazee wa Ngwasuma mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa kujidai wa Royal Zambezi,jiji Mbeya

No comments:

Post a Comment