
Jamaa yupo juu sana kwa sasa tofauti na nilivyokuwa namfahamu mimi.Anaitwa Izo B maskani kwao ni ILOMBA MBEYA alianza kama utani na wimbo wake wa kwanza uliitwa PISHA, kwili tulimpisha and now amekuwa juu, keep it up IZZO B,
Copyright © 2010 JACKLINE CHARLES - All Rigth Reserved
created by MTAA KWA MTAA
No comments:
Post a Comment