nikaona siyo mbaya kupata picha ya peke yangu, ndani ya bustani ya mbeya MBEYA FM .full kuvutia au unasemaje ? unajua mbeya bwana ndege huwa tunaona mara moja kwa mwaka ila siku hiyo ikapita kwa hiyo sikuona noma kuishangaa ndio maana nimeangalia juu.
Tuesday, September 22, 2009
WASHKAJI HAPA VIPI?
nikaona siyo mbaya kupata picha ya peke yangu, ndani ya bustani ya mbeya MBEYA FM .full kuvutia au unasemaje ? unajua mbeya bwana ndege huwa tunaona mara moja kwa mwaka ila siku hiyo ikapita kwa hiyo sikuona noma kuishangaa ndio maana nimeangalia juu.
1 comment:
Jackline unamchumba mimi natafuta mpenzi kama vipi tukubaliane au umasemaje?
Post a Comment