Tuesday, September 15, 2009

BABA LAO

eti mara MAN U tumefulia mara ooh! cjui nini, mtacheki picha wenyewe. huwa hatubahatishi kama kina Othman Michuzi na liverpool yao. yani liver ndio mmefulia totally

3 comments:

Othman Michuzi said...

mimi ni shabiki mkubwa sana wa Bwawa la Maini a.k.a Liverpool ila ninachotaka kukwambia ni kwamba mwaka huu nyinyi wana Man yuu mmefulia mbayaaaaaaaa......

haha ahaha ahaha ahaha ahahahaa

Anonymous said...

Mimi ni shabiki wa timu kubwa zaidi duniani, Real Madrid ambayo huwa haishindwi kuchukua wachezaji wanaotegemewa na timu kubwa kubwa kama Man U!! unabisha? mwaka huu naona mnafulia sana wakati sisi tunatesa tu na CR9 wetu

viva afrika said...

du! anoy hapo juu kweli hujui man u, haishindwi kitu, kwetu ni man u kwanza ndo mengine yafuate, nini cr9, walikuwepo kina cantona, beckham, keane, na bado chama linasonga.

Post a Comment