Monday, August 30, 2010

WAREMBO WA MISS TANZANIA WALIPOTEMBELEA MAPANGO YA AMBONI -TANGA

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Said Said Kalembo (katikati) akizungumza na warembo wa .Vodacom Miss Tanzania 2010 ofisini kwake jana jijini Tanga. Kushoto ni Mkurugenzi wa lino International Agency Waandaaji wa shindano hilo Hashim Lundenga na Kulia ni Katibu Mkuu wa Kamati ya Miss Tanzania Bosco Majaliwa 'Mshua'. Warembo wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tanga...

Warembo wa Vodacom Miss Tanzania 2010 wakipiga picha na watoto waliotembelea mapango ya Amboni mjini Tanga jana ikiwa ni sehemu ya ziara yao ya kutembelea vivutio vya utalii Kanda ya Kaskazini na kuhamasisha utalii wa ndani nchini.

Warembo wakionekana miguu tu ndani ya Mapango ya Amboni
Warembo wakitembea ndani ya Mapango ya Ambani mjini Tanga jana kujionea Mapango hayo ya asili ya kale ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha Utalii wa ndani nchini.
Warembo wakipita ndani ya mapango hayo ya Amboni..
Huyu ni mwakilishi wa Jiji la Tanga aliamua kupozi katika sehemu ambayo wanaisema inafanana na kiti.

No comments:

Post a Comment