Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Said Said Kalembo (katikati) akizungumza na warembo wa .Vodacom Miss Tanzania 2010 ofisini kwake jana jijini Tanga. Kushoto ni Mkurugenzi wa lino International Agency Waandaaji wa shindano hilo Hashim Lundenga na Kulia ni Katibu Mkuu wa Kamati ya Miss Tanzania Bosco Majaliwa 'Mshua'. Warembo wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Tanga...
Warembo wa Vodacom Miss Tanzania 2010 wakipiga picha na watoto waliotembelea mapango ya Amboni mjini Tanga jana ikiwa ni sehemu ya ziara
No comments:
Post a Comment